Nakua Chizi Kwa Wivu wa Mke Wangu...Mpaka Naokota Mawe Kama Chizi



Nina mke mmoja ambae tunapendana sana,tatizo ana WIVU kupindukia.

1.Ninapoingia tu home ananidaka na kuninusa nguo,akisikia pafyum kwa mbali MATATIZO,mim situmii pafyum ila usafir wa kwetu ni shida,mnabana had kupumua shida.Matokeo yake sipend watu waniguse kitu ambacho ni kigumu kwenye usafir wa jumuiya!

2.Kila ninapoenda anataka nitume picha kwa whatsap,hata kama kwenye daladala nimesimama,anataka nipenye dirishan nipige hilo eneo,au nijipige kitu ambacho watu hawakubali maana wanaona unawapiga wao!Hata wakat mwingine ananiambia chukua jiwe,weka sehem flan then piga picha.

Hii inanifanya ntaokota makopo il nipige picha ili aamini,

JE NIFANYEJE MAANA TUNAPENDANA SANA

Comments

Popular posts from this blog

10 Relationship Goals That Will Make Your Love Stronger

Katy Perry flashes her toned abs as she poses in a bright orange crop top with a matching skirt

Rebecca Klopper Video Viral On Twitter : Know everything about the viral video